Tundaman kumshangilia Mashali kesho

Msanii wa muziki wa bongofleva nchini, Tundaman

Ikiwa kesho ndiyo siku kubwa ya mpambano wa Masumbwi wa Night of Knock-outz pale Diamond Jubilee, kutoka tasnia ya muziki wasanii wameendelea kuonesha hamasa kubwa na pia kuwataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mpambano huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS