Marouf Tchakei amgalagaza Pacome tuzo mwezi Oktoba
Mshambuliaji wa timu ya Singida Black Stars Marouf Tchakei,amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa mwaka 2024/25, huku Rachid Taoussi wa Azam FC akichaguliwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi huo.