Kala apigania haki za walemavu

msanii wa bongofleva nchini Kalajeremiah

Staa wa muziki Kala Jeremia, amefunguka juu ya projekti yake yenye lengo la kuongeza uelewa kwa jamii dhidi ya walemavu, ambayo ameifanya akishirikiana na msanii kutoka Kenya anayefahamika kwa jina Baba Gurston.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS