Vita ya kukaa kileleni ligi kuu Tanzania bara

Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kinashika nafasi ya tatu msimamo wa ligi kuu TPL kikiwa na alama 22 nyuma ya Singida Black Stars yenye alama 23 Yanga SC ikiwa kileleni mwa msimamo ikiwa na alama 24.

Michezo ya ligi kuu Tanzania bara itaendelea leo na kesho kwa michezo kuchezwa viwanja tofauti nchini, leo Novemba 6 uwanja wa KMC Complex utachezwa mchezo utakaozikutanisha timu za Simba SC dhidi ya KMC FC na Kesho Yanga SC itakipiga dhidi ya Tabora United  Azam Complex Chamazi Dar es sal

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS