Carlo Ancelotti Kikaangoni Real Madrid

Real Madrid inashika nafasi ya pili msimamo wa ligi kuu nchini Hispania ikijikusanyia alama 24 nyuma ya Barcelona iliyoko kileleni na alama zake 33,ligi ya Mabingwa ipo nafasi ya 17 imekusanya alama 6 baada ya kucheza michezo minne.

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelloti yupo kwenye wakati mgumu ndani ya kikosi cha Mabingwa mara 15 wa ligi ya mabingwa Ulaya baada timu yake kupokea kipigo cha pili kikubwa ndani ya wiki tatu kutoka kwa AC Milan ya Italia jana usiku uwanja wa Santiago Bernabéu Stadium . 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS