IGP afanya mabadiliko 

IGP Camillus Wambura

IGP Camillus Wambura amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Fortunatus Muslim kwenda kitengo cha miopango makao makuu na nafasi yake imechukuliwa na ACP Alex Mukama ambaye alikuwa RPC Songwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS