WATANZANIA WATAKIWA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe

Idadi kubwa ya wakazi wa Tanzania hasa waishio maeneo ya vijijini wapo hatarini kuendelea kukosa maji safi na salama kutokana na kushindwa kutunza vyanzo vya maji hali inayochangiwa na shughuli za binadamu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS