Moto wateketeza soko la Urambo, Tabora

Sehemu ya Soko la Urambo

Moto uliowaka zaidi ya masaa 9 umeteketeza meza zaidi ya 250 na maduka zaidi ya 330 ya wafanyabiashana, huku wananchi wakihangaika kuuzima kwa kutumia mchanga, katika soko kuu la mji mdogo wa Urambo mkoni Tabora usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS