Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein, wakifungua katiba inayopendekezwa.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amewapongeza wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kwa kupendekeza katiba ambayo imejali maslahi ya makundi yote wakiwemo wanawake na walemavu.