Kinara wa Dance 100 kujulikana leo!

mashindano ya kudansi nchini Tanzania ya Dance 100 2014

Mashindano makubwa kabisa ya kudansi ya Dance 100 2014, yameanza leo baada ya kila kitu kukaa katika mstari tayari kwa mpambano mkali wa makundi 5 kuwania taji kubwa la ukali wa dance Afrika Mashariki kwa mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS