Wafuasi watano wa Chadema Mbaroni

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu.

Wafuasi watano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kufanya mkusanyiko usio halali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS