Pole sana Witnesz Mwaijaga
Msanii wa muziki wa miondoko ya bongo fleva nchini Witnesz Mwaijage ambaye ambaye hivi karibuni alkikuwa mja mzito na alitarajia kujifungua imekuwa bahati mbaya kwake kutokana na kupoteza watoto watarajiwa hao ambao walikuwa ni mapacha.