Pole sana Witnesz Mwaijaga

msanii wa bongofleva Witnesz Mwaijaga

Msanii wa muziki wa miondoko ya bongo fleva nchini Witnesz Mwaijage ambaye ambaye hivi karibuni alkikuwa mja mzito na alitarajia kujifungua imekuwa bahati mbaya kwake kutokana na kupoteza watoto watarajiwa hao ambao walikuwa ni mapacha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS