Mgomo wa walimu Tanga wanukia

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Tanzania, Dkt Shukuru Kawambwa.

Walimu wa shule za msingi na sekondari Jijini Tanga nchini Tanzania wametangaza Kufanya mgomo endapo mapendekezo yao kwa wizara ya Kazi na Ajira hayatashughulikiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS