Dk Bilal mgeni rasmi mkutano wa MCT na wanausalama

Makamu wa rais wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal.

Makamu wa Rais wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal kesho atakuwa mgeni rasmi katika mkutano wa mashauriano kati ya vyombo vya habari na wakuu wa utekelezaji wa Sheria, Ulinzi na Usalama, mkutano uliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS