Serikali yatoa tamko Bunge Maalum la Katiba
Serikali ya Tanzania imetoa tamko juu ya kuendelea kwa bunge maalumu la katiba na kusema kuwa lipo kwa mujibu wa sheria hivyo wananchi wasidanganyike na maneno ya wanasiasa juu ya uhalali wa Bunge hilo katika kuunda rasimu ya Katiba.