Serikali yatoa tamko Bunge Maalum la Katiba

Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dkt. Asha-rose Migiro.

Serikali ya Tanzania imetoa tamko juu ya kuendelea kwa bunge maalumu la katiba na kusema kuwa lipo kwa mujibu wa sheria hivyo wananchi wasidanganyike na maneno ya wanasiasa juu ya uhalali wa Bunge hilo katika kuunda rasimu ya Katiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS