Jux: Sisikii ni ya wote
Msanii wa muziki Jux Vuitton amesema kuwa, kufanya ngoma kama Sisikii ambayo ameandikiwa na staa wa muziki Mabeste, ni moja ya idea ambazo ya tofauti ya mapenzi ambayo haimhusu moja kwa moja na inagusa kwa ujumla maisha ya kimapenzi ya mtu yoyote.