Agizo la Pinda kwa Bodi ya Chai

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda.

Waziri Mkuu wa Nchini Tanzania Mizengo Pinda amewataka Wakala wa Wakulima Wadogo wa Chai pamoja na Bodi ya Chai nchini waangalie uwezekano wa kuunda timu ya watu wawili au watatu itakayosimamia mwenendo wa kiwanda cha chai Mponde,kilichopo lushoto.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS