COASTAL UNION KUKIPIGA NA MTIBWA JUMAMOSI
Timu ya Coastal Union ya Tanga “Wagosi wa Kaya” Jumamosi wiki hii wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Mkwakwani ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu mpya wa ligi kuu soka Tanzania bara ambao unatarajiwa