Jose Chameleone apigwa tafu

msanii wa muziki Jose Chameleone akiwa na mfanyabiashara Katsha wa Afrika Kusini

Msanii Jose Chameleone, amepata msukumo wa aina yake kulekea onyesho lake ambalo atatoza kiingilio cha shilingi milioni 1 kwa kila kichwa, baada ya mfanyabiashara Katsha kutoka Afrika Kusini kununua tiketi 52 za onyesho hilo peke yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS