Mabaga Fresh: Gemu lina mabadiliko

kundi la muziki nchini Tanzania la Mabaga Fresh

Wasanii wa muziki wa kundi la Mabaga Fresh, wakitamba na ngoma yao iitwayo 'Usimpe Pombe', wameweka wazi kuwa, ukimya wao wa muda ulikuwa ni kwa ajili ya kujipanga upya hasa baada ya kushuhudia mabadiliko makubwa katika soko la muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS