Katiba mpya baada ya uchaguzi mkuu wa 2015

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo Dodoma

Mkutano wa Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia umekubaliana kwamba Katiba mpya ipatikane baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 lakini Bunge la Katiba liendelee na vikao vyake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS