Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) wakati alipokutana nao kwenye Ikulu ndogo Dodoma
Mkutano wa Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia umekubaliana kwamba Katiba mpya ipatikane baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 lakini Bunge la Katiba liendelee na vikao vyake.