Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Kijamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS.
Ofisi ya taifa ya takwimu nchini Tanzania, leo imetoa taarifa ya kiwango cha mfumuko wa bei kwa mwezi August taarifa inayoonyesha kuwa kiwango cha mfumuko wa bei kimeongezeka kwa wastani wa asilimia 0.1.