Makalla awataka waliokatwa wawe na subira
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM CPA Amos Makalla, ametoa wito kwa waliokuwa wagombea wa chama hicho katika nafasi za uchaguzi wa serikali za mitaa ambao majina yao hayakupitishwa pamoja na kwamba walishinda kura za maoni kuwa na subira.