msanii Bebe Cool akiwa na wachezaji wa timu ya soka ya Uganda Cranes
Mwanamuziki Moses Ssali aka Bebe Cool, amechaguliwa kuwa balozi wa timu ya taifa ya mpira wa miguu, Uganda Cranes, kwa lengo la kutumia nguvu ya ushawishi aliyonayo msanii huyu kujitangaza zaidi.