Okwi huru TFF yasema hana mkataba Yanga

Mshambuliaji wa Simba Mganda Emmanuel Okwi.

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo (Septemba 7 mwaka huu) na kupitia masuala mbalimbali ikiwemo mgogoro wa kimkataba kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Emmanuel Okwi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS