JK ayataka majeshi kubuni mbinu dhidi ya maadui
Amiri jeshi mkuu wa Tanzania ambaye pia ni Rais wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wameyataka majeshi hapa nchini kuendelea kubuni mbinu zaidi zinazokwenda na wakati ili kuweza kukabiliana na vitendo mbalimbali vya kigaidi.