EU yaridhishwa na kiwango cha demokrasia nchini Mkuu wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Filberto Ceriani Sebregondi. Jumuiya ya Ulaya imeelezea kufurahishwa na muafaka uliofikiwa wiki iliyopita baina ya vyama vikuu vya siasa nchini Tanzania kuhusu mchakato wa katiba mpya. Read more about EU yaridhishwa na kiwango cha demokrasia nchini