Okwi aanza kazi Simba aongoza mauaji Gor Mahia leo
Mshambuliaji mpya wa klabu ya Simba Mganda , Emmanuel Okwi hii leo ameichezea kwa mara ya kwanza timu hiyo na kupata wakati mgumu kutokana na kuzomewa na mashabiki wa Yanga SC kila muda alipokuwa akigusa mpira