WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA!

Takribani watu zaidi ya 36 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 79 kujeruhiwa baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba wilayani Butiama, mkoani Mara leo asubuhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS