TRA lawamani tena
Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini Tanzania JWT imeishutumu mamlaka ya mapato nchini TRA kwa kuchochea hatua ya baadhi ya wafanyabiashara nchini kufunga maduka yao kupitia utata unaoendelea kuhusu matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki za EFD.