Dj Cleo kutua nchini Kenya

msanii wa muziki wa nchini Afrika Kusini Dj Cleo

Msanii wa muziki DJ Cleo anatarajiwa kuandika historia ndani ya Afrika Mashariki, ambapo atatumbuiza katika siku maadhimisho ya miaka 25 ya Demokrasia ya nchi yake ya Afrika Kusini ndani ya Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS