Mgomo mashine za EFD Dar waisha

Baadhi ya maduka jijini Dar es Salaam yakiwa yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara wanaopinga mashine za kutolea risiti za kielektroniki maarufu kama mashine za EFD.

Biashara katika jiji la Dar es salaam zimeanza kurejea katika hali yake ya kawaida baada ya mgomo wa kupinga matumuzi ya mashine za kutolea risiti za kiletroniki EFD.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS