Homa ya Kili yaanza kupanda Dar
Tamasha kubwa kabisa la burudani ya muziki wa nyumbani, Kili Music Tour 2014 baada ya kuzunguka mikoa 9 sasa linahitimishwa na show ya fainali, itakayofanyika Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Leaders Club Jumamosi hii.