Okwi arejea Msimbazi aahidi makubwa ligi kuu bara

Mshambuliaji Mganda Emmanuel Okwi akitambulishwa na mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba Zakaria Hans Pope.

Staili ile ile waliyotumia mahasimu wao Dar es salaam Young Africans kumpata mshambuliaji mganda Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, wekundu wa Msimbazi Simba SC imeitumia kumrejesha kundini Mganda huyo hii leo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS