Juliani kusaidia soka Dandora

msanii wa muziki nchini Kenya Juliani

Msanii wa muziki Juliani wa nchini Kenya, ameendelea kuonesha moyo wa kujitoa kusaidia wengine, ambapo sasa ametangaza kudhamini michuano ya mpira wa miguu ambao unaendelea huko Dandora maeneo alipokulia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS