TWCC kuendelea kuwezesha wanawake wajasiriamali
Wanawake wajasiriamali nchini Tanzania, wametakiwa kujiunga katika Jumuiya na taasisi za wajasiriamali wanawake, ili kuwapa uwezo, ujuzi, mbinu pamoja na maarifa ya kuuza bidhaa zao katika masoko ya kimataifa yakiwemo masoko ya kikanda.