Bobi Wine atetea kauli yake

Msanii wa Uganda Bobi Wine

Msanii Bobi Wine wa Uganda amejitetea kuwa, kauli yake dhidi ya Mheshimiwa Amama Mbambazi kuwa angekuwa makini kutokuchafua sahani ya bosi wake, haikuwa na lengo lolote la kumdhalilisha ama kumvunjia heshima mwanasiasa huyu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS