Magesa Mulongo ataka utulivu jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo amesema kamati ya ulinzi na usalama haip tayari kuona watu wake wanapoteza maisha na kuwataka wakazi wa Arusha hususani wanawake kuwa watulivu kwa kuwa mamlaka zinalifanyia kazi suala la mauaji ya wanawake.