Makundi yaoneshana viwango Robo Fainali Dance100%

Kundi la Quality Boys likiwa linaonyesha uwezo mbele ya majaji leo

Hatua ya robo fainali ya shindano kubwa kabisa la Kudance la Dance 100% 2014, yamefanyika leo katika uwanja wa Don Bosco Oysterbay ambapo makundi 16 yamepambana mbele ya majaji na hatimaye kupata makundi 10 ambayo yanasonga mbele nusu fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS