Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania Dkt Seif Rashid.
Madaktari wa magonjwa ya binadamu, wameishauri wizara ya afya na ustawi wa jamii kuhakikisha inapanua wigo wa uboreshaji wa huduma za maabara ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira mazuri kwa sekta binafsi.