Kitifa: nimekutanisha wenye uwezo

msanii wa muziki nchini Kitifa

Rapa Kitifa kupitia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la "Unacheza na Nani" ft Rich Mavocal, amesema kuwa kazi hiyo imeweza kuzishika chati mbalimbali kutokana na muunganiko mzuri wa wasanii pamoja na timu ya watayarishaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS