Wasanii Kili wamfariji Afande

wasanii wa muziki wakiwa na Afande Sele mkoani Morogoro

Katika kuonesha moyo ya upendo na kujali, timu ya wasanii ambayo Jumamosi hii imewasha moto Mjini Dodoma katika tamasha la Kili Music, imepata nafasi ya kufika nyumbani kwa msanii Afande Sele Morogoro kumpa pole kwa kuondokewa na mzazi mwenzake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS