Wasanii Kili wamfariji Afande
Katika kuonesha moyo ya upendo na kujali, timu ya wasanii ambayo Jumamosi hii imewasha moto Mjini Dodoma katika tamasha la Kili Music, imepata nafasi ya kufika nyumbani kwa msanii Afande Sele Morogoro kumpa pole kwa kuondokewa na mzazi mwenzake.