Rais ana mamlaka ya kuvunja bunge la Katiba- LHRC

Mkuu wa Idara ya Maboresho ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC) wakili Harold Sungusia.

Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania, LHRC, kimemtaka mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Fredrick Werema, kuwaeleza ukweli Watanzania kuhusiana na mamlaka ya Rais katika mchakato unaoendelea wa kutafuta katiba mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS