Wazee Dar wazungumzia mchakato wa Katiba Mpya

Baadhi ya viongozi wa kundi la wajumbe kutoka Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA.

Baadhi ya wazee wa mkoa wa Dar es salaam wamewataka watanzania kutowazomea wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba hasa wale wanaotokana pande hasimu za Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA na wale wa Tanzania Kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS