TFF kurejesha ofisi zake Karume Ofisi za TFF zilizopo Karume DSM Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Read more about TFF kurejesha ofisi zake Karume