Watu 4 wafariki kwa kuangukiwa na jiwe Mwanza Baadhi ya wakazi wa mabatini Mwanza wakifuatilia kazi ya uokoaji Watu wanne wa familia mbiili tofauti wakazi wa mtaa wa Nyerere A, eneo la Mabatini jijini Mwanza wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuangukiwa na mawe wakiwa wamelala. Read more about Watu 4 wafariki kwa kuangukiwa na jiwe Mwanza