Dkt Mpango ataka Watanzania wajitoe kwa Taifa
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, amesema katika kumuenzi Jenerali Mstaafu David Musuguri, inapaswa Watanzania wote yaani askari na raia kujitoa, hata ikibidi kufa kwa ajili ya kulinda na kutetea uhuru, heshima na maslahi ya Taifa.