Ubovu wa miundombinu wasababisha vifo 150

Baadhi ya wakazi wa Nkasi wakiwa katika usafiri wa mtumbwi kuelekea katika kituo cha afya

Zaidi ya watoto 150 wenye umri chini ya miaka mitano wamepoteza  maisha tangu mwaka jana hadi sasa kutokana na kukosa miundombinu ya barabara wilayani Nkasi mkoani Rukwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS