Uhusiano Tanzania na Rwanda sio mzuri - Membe

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, mhe Bernard Kamilius Membe.

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania Bernard Membe, ameweka wazi na kufafanua kuwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Rwanda bado sio mzuri na kwamba juhudi za kurejesha katika hali yake ya kawaida zinaendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS