Kampuni za simu zisaidie vijana wabunifu - Waziri

Waziri wa sayansi na teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.

Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa ameyashauri makampuni ya simu nchini Tanzania kuhakikisha kuwa yanasaidia kutatua changamoto za teknolojia kwa vijana wabunifu na wajasiriamali wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS