Seneta Sonko na Shebesh matatani Mike Sonko Polisi nchini Kenya wanachunguza tukio la ugomvi baina ya Seneta wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko na Mbunge Mwakilishi wa Wanawake Rachael Shebesh, uliotokea kwenye klabu moja ya usiku, siku ya jumamosi. Read more about Seneta Sonko na Shebesh matatani